Marmo Advert Banner

Royal Tughimbe Hotel

investment forum

investment forum

MACHEMBA STORE

MACHEMBA STORE

MBEYA SPRING WATER

MBEYA SPRING WATER

MADARAKA AUTO GARAGE

MADARAKA AUTO GARAGE

Thursday, 22 May 2014

MAONESHO YA SYRIA INTERNATIONAL EXHIBITION YAFUNGULIWA JIJINI MBEYA
Kutoka Kushoto ni: Mkurugenzi wa Kampuni ya Excel (Fetian Abdulal), Balozi wa Syria nchni Tanzania na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Mh. Abbas Kandoro)
Kushoto Kushoto ni: Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Mh. Abbas Kandoro), Mwenyekiti TCCIA Mkoa (Dr. Lwitiko Mwakalukwa), Balozi wa Syria nchini na Mkurugenzi wa Kampuni ya Excel (Fetian Abdulal)

Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mh. Abbas Kandoro akitembelea mabanda ya Maonesho hayo

Balozi wa Syria nchini Tanzania akizungumza kabla ya ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Wafanyabiashara kutoka Syria. Pembeni yake ni MC. Mwakipesile
Maonesho ya utamaduni na bidhaa za watu wa nchi ya Syria yanaendelea katika ukumbi mkubwa wa Benjamin Mkapa jijini Mbeya
Bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo zinapatikana kwenye maonesho ambazo wana Mbeya wanaweza kujinunulia
Hizi ni baadhi tu ya bidhaa za manukato zinazopatikana katika Maonesho hayo
Vidani vya aina mbalimbali kutoka Syria vinapatikana ndani ya Maonesho hayo
Sehemu ya wageni mbalimbali walioalikwa kuhudhuria ufunguzi wa maonesho hayo
Baadhi ya wageni waliohudhuria ufunguzi huo wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi

Suti kali na za rangi zote pia zipo
Kushoto ni maboksi ya pasi zinazouzwa kwenye maonesho hayo ya Syria na kulia ni fagio/dekio maalum lisilotumia umeme lenye uwezo wa kufyonza uchafu aina zote. Banda hili linazo pia machine mbalimbali ya massage na kuondoa vitambi
Perfume mbalimbali zinapatikana katika banda hili


No comments: