Marmo Advert Banner

Royal Tughimbe Hotel

investment forum

investment forum

MACHEMBA STORE

MACHEMBA STORE

MBEYA SPRING WATER

MBEYA SPRING WATER

MADARAKA AUTO GARAGE

MADARAKA AUTO GARAGE

Friday, 25 April 2014

kampuni ya Tigo imeanza kushirikiana na Facebook

kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo imeanza rasmi ushirikiano na mtandao wa kijamii wa facebook ambapo wateja wake wataweza kupata huduma za facebook kwa lugha ya kiswahili kupitia simu zake za mkononi, huduma itakayopatikana bila malipo.
mkurugenzi wa mtandao wa tigo Tanzania Diego Gutterez amesema, hii ni kwa mara ya kwanza kwa mtandao wa tigo kupatikana bila malipo katika eneo la Afrika mashariki. pia ni kwa mara ya kwanza kwa mtandao wa kijamii kama facebook kupatikana kwa kwa lugha ya kiswahili, na hii pia ni njia nzuri ya kuitangaza lugha ya kiswahili kimataifa.
akizungumza katika uzinduzi wa huduma hiyo Diego Gutterez amesema kwa mara ya kwanza wateja wa tigo wataweza kutumia mtandao wa facebook kwenye simu zao bila kukatwa gharama zozote hivyo kuwawezesha kuungana na wateja zaidi ya milioni mbili wanaotumia mtandao huo wa facebook hapa nchini.



mkurugenzi wa facebook wa ushirikiano na ukuaji kimataifa Nicola Delia na mkurugenzi wa wa tigo tanzania Diego Guterrez



Tuesday, 22 April 2014

                                                          in TZS
  Algerian Dinar                                   20.8
  Egyptian Pound234
  Euro2252
  Nigerian Naira10.1
  South African Rand 155
22 Apr 14 

currency exchange rate as per 22 April 2014

                                                                         in TZS
  Australian Dollar                                                                     1530
  Swiss Franc1845
  Euro2252
  British Pound2744
  Hong Kong Dollar211
  Japanese Yen15.9
  American Dollar                                                  1633
        22 Apr 14                                           

Kituo cha uwekezaji chafanikiwa kusajili Miradi 9,442

1
Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Pendo Gondwe (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya kituo hicho katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Uhamasishaji wa Uhamaishaji wa kituo hicho John Mnali na kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari-MAELEZO, Frank Mvungi.(Picha na Hussein Makame-MAELEZO).
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kusajili miradi 9,442 tangu kuanzishwa kwake hadi 2013.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa TIC, Pendo Gondwe wakati wa mkutano na waandishi wa habari  jijini Dar es salaam.
Gondwe alisema kuwa  Watanzania wamekuwa na muamko katika uwekezaji ambapo katika miradi yote miradi ya Watanzania ni asilimia 52  na 25 ni miradi inayomilikiwa kwa ubia kati ya wageni na watanzania.
Aliongeza kuwa asilimia 23 ni miradi iliyowekezwa na wageni kutoka mataifa mbalimbali ambapo alisema miradi ambayo inaongoza kwa  uwekezaji  ni Kilimo, Maliasili, Miundombinu, Nishati, viwanda na biashara, Usafirishaji, Elimu, Afya, Miundo mbinu na madini.
2
Meneja Uhamasishaji wa Uhamaishaji wa kituo hicho John Mnali akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya kituo hicho katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)Pendo Gondwe.
Alisema TIC inawahamasisha Watanzania kujitokeza kuwekeza katika miradi mbalimbali ili kusaidia katika kukuza uchumi wa Taifa.
Gondwe alisema TIC imekuwa na utaratibu wa kuhamasisha wananchi kushiriki katika uwekezaji katika sekta nmbalimbali ambapo kituo hicho kimekuwa kikitumia mikutano na makongamano kuhamasisha wananchi kusajili miradi yao.
Kituo cha  uwekezaji kinatoa huduma mbalimbali kwa ajili ya wawekezaji wa ndani kupitia dirisha moja yaani ONE STOP CENTRE  ikiwemo kuandikisha kampuni, kujisajili na VAT, TIN, na leseni mbalimbali.
3
Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Pendo Gondwe, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya kituo hicho katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani, kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja Uhamasishaji wa Uhamaishaji wa kituo hicho John Mnali.
4
Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Pendo Gondwe, akizungumza na kituo cha Televisheni One baada ya mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.
5
Mwandishi wa Habari kutoka gazeti la The Citizen, Henry Mwangonde akiuliza jambo wakati wa mkutano kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) jana jijini Dar es Salaam. (Picha na Hussein Makame-MAELEZO).

source: dewjiblog.com

Wednesday, 16 April 2014

ROYAL TUGHIMBE HOTEL - ONE OF THE BEST HOTELS IN MBEYA


Description

Royal Tughimbe Hotel Limited is a modern Hotel which was established in the year 2004 and constantly renovated to meet the ever changing guest demands and technology. It is a very beautiful hotel with spacious parking located at Mbalizi Area in the outskirt of Mbeya City along Tanzania - Zambia Highway (TANZAM HIGHWAY) in the Southern part of Mbeya Region, just 7 Kilometres from Mbeya City Centre along Tunduma Border and only three Kilometres from Songwe International Airport.
 It is calm and out of city noises offering all types of hospitality ranging from best meals, accommodation, bar and conference services in Mbeya City as guests may need. The hotel offers almost all hotel services one may need while in Mbeya in the Southern Highlands part of Tanzania. The hotel offers Broadband internet services to its clients who need to surf the web.
Royal Tughimbe Hotel Limited offers Accommodation Services ranging from Ordinary Single Bedroom, Double Standard Bedrooms, Executive Suite. All 25 rooms have Multi-channel Television Sets, Telephone Services, Hot and Cold showers, Wardrobe, Study Tables and Chairs, Sofa Sets seats, mini fridge, and other in room amenities. Royal Tughimbe Hotel aims at keeping guests connected to the entire World while they enjoy their stay in Mbeya City. They are also the best connection to Tunduma and Kasumulu borders and hence a good starting point to Zambia, Malawi, Congo, Botswana, Zimbabwe and South Africa. 
BEST SERVICES OFFERED BY ROYAL TUGHIMBE HOTEL:
 1. Room Accommodation
The hotel offers the best accommodation services in Mbeya Region at affordable prices. The  hotel has (25) twenty five self contained rooms, hot showers, satellite dish, very comfortable beds. The rooms are very clean with good ventilation. The price for accommodation services are most affordable in Mbeya City and Mbalizi Area. All prices include breakfast. These services are not only cheap but also the best services served with International perspective. 



2. Restaurant
The hotel restaurant offers excellent meals services in Mbeya City and the entire Mbeya Region at affordable prices. It has trained staff who handle clients professionally. The menu is for both local and international visitors which is prepared by competent chef and cooks. 
A guest or visitor can choose to take a drink or meal outside the Bar and Restaurant. Royal Tughimbe Hotel has a beautiful Garden, grass thatched huts, under the umbrella and open space where one can enjoy the sunlight. At Royal Tughimbe Hotel, possibilities are unlimited! When it comes to meals and drinks, they provide the best services in Mbeya Region! 


3. Bar
Royal Tughimbe Hotel Limited maintains a modern Bar. The Bar offers all types of drinks both alcoholic and non-alcoholic. The bar contains a spacious room with the capacity of holding more than 300 people at a time. It is so designed to provide a visitor with space of privacy. The Bar is attended by more than 10 attendants to ensure that everyone is served accordingly and on time. The bar is furnished with both simple chairs and cushioned seats form comfortability and freedom of choice. While in the bar one can enjoy nice television programs through the wide LCD Television.


4. Conference Services


Royal Tughimbe Hotel offers Meetings and Conference Hall Services. The Conference Hall building is a one storey building with four separate halls. The smallest hall (Antelope Hall) can accommodate 20 people at a time; Camel Hall can accommodate 35 people at a time; Zebra Hall can accommodate 60 people at a time and the biggest hall (Giraffe Hall) can accommodate 500 people at a time. All Conference Halls are fully furnished and are customized according to the event and clients needs.The halls are well ventilated, with electric lights, Standby Generator, Overhead Projectors, Flip Chart Stands, Television sets and laptops are provided on request. 
These halls can be used for any event ranging from a business meeting, Seminar, Graduation, Wedding and International Business Meetings, etc 
 
5. Laundry
Laundry services are also available to guests who need these services. 
6. Business Centre
Internet and Fax Services are provided in the Hotel's Internet Cafe. Photocopy and Secretarial Services are available in the nearest neighborhood
  7. Security
The hotel is the most secure hotel in Mbeya Region.
  
Mr. Alex M. Sanga, Manager of Royal Tughimbe Hotel


Welcome to Mbeya, Stay at Royal Tughimbe Hotel Limited!

Location: Mbalizi Area - Mbeya 
P.O. Box 6
Tel: +255 25 2560008 
Fax: +255 25 2560160 
E-mail: info@royaltughimbehotel.com
Website: www.royaltughimbehotel.com