WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA, TANZANIA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Omar Kigoda akisisitiza jambo wakati wa alipokutana na ujumbe wa wawekezaji toka Ujerumani wanaotaka kujenga Kiwanda cha mbolea hapa nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Ujerumani ya Helma Dungemittel, Bw. Oliver Mehl akitoa maelezo juu ya ujio wao na kuelezea mambo watakayoyafanya
Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Omar Kigoda akiongea
ofisini kwake jijini Dar es Salaam na ujumbe kutoka kampuni ya Ujerumani
ya Helma Dungemittel ambayo ina mpango wa kuwekeza kwenye kiwanda cha
kuzalisha mbolea kwa kutumia gesi asilia. Pembeni yake ni Naibu Waziri
wa Viwanda na Biashara, Bi. Janet Mbene pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa
kampuni hiyo, Bw. Oliver Mehl.
No comments:
Post a Comment